Ticker

6/recent/ticker-posts

MAGONJWA YANAYOWASABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA



UGUMBA

• • • • • •

MAGONJWA YANAYOWASABABISHA WANAWAKE KUWA WAGUMBA 


1. P.I.D ni kifupishi Cha pelvic inflammatory Diseases 

2. Fibroids au UVIMBE 

3. U.T.I na FANGAS SUGU


P.I.D

- ni maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke na huweza kusababisha kuharibika kwa mayai,mirija ya uzazi au mfuko wa uzazi 

✓ ugonjwa huu husababishwa na kutotibu MAGONJWA ya zinaa 


DALILI KUU ZA P.I.D

• maumivu makali ya Tumbo chini au sehemu ya juu kulia 

• kutokwa  uchafu ukeni wenye harufu mbaya  ambao wengi hudhani ni fangasi ila sio 

• maumivu makali na kutokwa damu wakati wa tendo la ndoa 

• UGUMBA unatafuta mtoto kwa muda mrefu bila mafanikio 

• kutokwa na damu nyingi Sana wakati wa hedhi au hata wakati ambao sio wa hedhi


FIBROIDS / UVIMBE 

- ni uvimbe ambao hutokea katika tumbo la uzazi ambako huweza kuwa ukutani mwa kizazi , Ndani kabisa ya kizazi au nje ya kizazi 


DALILI KUU ZA FIBROIDS

✓ kutokwa damu nyingi katikati ya mwezi au kipindi Cha hedhi

✓ maumivu makali Sana ya kiuno kipindi Cha hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe nje

✓ maumivu makali wakati wa tendo la ndoa mpaka kupelekea kuchukia kabisa 

✓ Mimba kutoka mara kwa mara 

✓ UGUMBA 

✓ Kukojoa mara kwa mara 


HONGERA KWA KUJIFUNZA MENGI 


~ Kama umekumbwa na tatizo la UGUMBA tafuta suluhisho Sasa na ondoa zana ya ushirikina 

~ kwa wanaume ukiona mke wako haoni raha kufanya mapenz na wewe msaidie yawezekana mwenzako anaumwa na moja Kati ya MAGONJWA haya na hajajua bado 

~ Chukua hatua Sasa






Post a Comment

0 Comments