Ticker

6/recent/ticker-posts

MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?




MAUMIVU YA NYONGA,  KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)? 

 

➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti 


Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kukamata katika vifupa vilivyo kwa chini

karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.


Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu  na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.


SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)


1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.

2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo 

3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.

4.mawazo (stress).

5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.


MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI KAMA YAFUATAYO;


1.Hupelekea kushindwa kufanya tendo LA ndoa. 

2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu) 

3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia. 

4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.






Post a Comment

0 Comments