Magonjwa
VITU VYA KUFANYA UNAPOUGUA MAFUA
PALE UNAPOKUWA NA TATIZO LA MAFUA FANYA YAFUATAYO
1.Piga chafya ndani ya kiwiko sio kiganja
2.Usiwape watu mkono; utawaambukiza
3.Nawa mikono mara kwa mara
4.Kunywa maji ya kutosha
5.Kaa nyumbani; subiri saa 24 hadi homa ipoe ndo urudi kazini
6. Tangawizi, machungwa/limao, supu ya kuku ni baadhi ya vyakula ambavyo hupunguza dalili ya mafua
7.Lala muda wa kutosha
8.Iwapo mafua yanaambatana na kikohozi, homa kali, kushindwa kunusa/kusikia ladha na kushindwa kupumua nenda hospitali.
(? @dr_normanjonas )
.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti23 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO