Magonjwa
KANSA YA DAMU,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE
KANSA YA DAMU
••••••••••••
KANSA YA DAMU,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE
Katika mwili wa Binadamu kuna aina nyingi za Kansa Ikiwemo hii ya Damu ambayo tunaizungumzia hivi Leo. Kansa hizo ni pamoja na;
- Kansa ya Damu
- Kansa ya Ngozi
- Kansa ya Mapafu
- Kansa ya Koo
- Kansa ya utumbo
- Kansa ya shingo ya Kizazi
- Kansa ya matiti
- Kansa ya kizazi
- Kansa ya Ini
- Kansa ya Ubongo
- N.K
- Kuanza kubadilika rangi ya Ngozi na kuwa Nyekundu sana
- Kupatwa na maumivu mbalimbali yakiwemo ya Mifupa pamoja,joint pamoja na Viungo mbalimbali vya Mwili
- Mgonjwa kutokwa na jasho sana wakati wa Usku
- Kupatwa na matatizo ya tumbo mara kwa mara pamoja na kushambuliwa na magonjwa mengine kwa urahisi zaidi
- Mwili kuchoka kupita kiasi
- Kupatwa na homa za mara kwa mara
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News4 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti23 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO