Connect with us

News

IMANI POTOFU ZENYE MADHARA KIAFYA KATIKA MWILI WAKO

Avatar photo

Published

on

 IMANI POTOFU

• • • • •

IMANI POTOFU ZENYE MADHARA KIAFYA KATIKA MWILI WAKO

Watu wengi wameendelea kukumbatia imani potofu ambazo hata zimekuwa chanzo kikubwa cha kuleta athari katika miili yao kwa kujua au kwa kutokujua huku wakiendelea kuzishikilia kwa nguvu zao zote.

Leo tunagusia kuhusu baadhi ya imani hizo potofu pamoja na madhara yake kiafya katika mwili wa binadamu

IMANI POTOFU ZENYE MADHARA KIAFYA KATIKA MWILI WAKO NI PAMOJA NA;

1. Eti ukila mayai wakati wa ujauzito utazaa mtoto ambaye hana nywele, imani hii sio ya kweli na tafiti zinaonyesha ukosefu wa vyakula vya protein kama mayai N.K

kipindi cha ujauzito kunaathiri swala zima la ukuaji na maendeleo ya mtoto tumboni pamoja na mama mjamzito.

Kumbuka ukosefu wa protein pamoja na madini ya chuma kwa mama mjamzito huweza kumletea madhara kama,

shida katika ukuaji wa mtoto tumboni pamoja na kuwa na tatizo la upungufu wa damu mwilini.

2. Eti ukimkeketa mwanamke hawezi kuwa na tabia za kihuni, hii ni imani potofu na ina madhara makubwa katika mwili wa mhusika,

wanawake wengi ambao hufanyiwa kitendo hiki,huanza kuathirikia kisaikolojia pale wanapogundua wao wapo tofauti na wengine,

lakini pia madhara ya ukeketaji ni pamoja ma mwanamke kupoteza damu nyingi wakati wa kitendo hiki, kuchanika na kupoteza damu nyingi wakati wa kujifungua na hata mwanamke kupoteza maisha kabsa.

3. Eti kula mboga za majani baada ya mama kujifungua huweza kumsababishia tumbo kuwa kubwa zaidi,

hii si kweli bali kitendo cha kumnyima mama aliyejifungua mboga za majani unamsababishia ukosefu wa virutubisho muhimu mwilini ikiwemo VITAMINS,

Chakuzingatia tu ni kwamba siku zote mama baada ya kujifungua huanza kula vyakula vilaini na vyenye maji mengi,

alafu kadri mda unavyokwenda anaendelea kuchanganya vyakula. Ulaji mzuri wa mama baada ya kujifungua humpa Nguvu,

pamoja na kumsaidia kurudisha kiwango cha damu nyingi iliyopotea wakati wa kujifungua hivo kumuepusha mama na tatizo la Upungufu wa Damu mwilini.

4. Eti Kuweka baadhi ya dawa za asili sehemu za siri, humsaidia mama kupata uchungu haraka na kumsaidia asichanike wakati wa kujifungua,

kitendo hiki ni hatari sana kwa mama mjamzito na kinaweza kumsababishia madhara makubwa ikiwemo;

Mtoto kufia tumboni, mama kuchanika kizazi wakati wa kujifungua kutokana na mgandamizo mkubwa unaosababishwa na dawa hizo bila kujali hali ya mtoto tumboni,mlalo, N.K

5. Eti mtoto akizaliwa na uchafu mama alikuwa anafanya mapenzi sana wakati wa ujauzito,

hiyo sio kweli na uchafu huu wakati mtoto anazaliwa kwa kitaalam hujulikana kama Vernix caseosa na unasaidia sana,moja ya faida zake ni kumlinda mtoto tumboni,

na kuleta hali ya ulaini ili kuepusha msuguano wakati mtoto akiwa tumboni, lakini pia uchafu huu husaidia kutunza ngozi ya mtoto.

6. Eti kuzaa mtoto alibino ni mkosi katika familia hata kufikia hatua kwa baadhi ya jamii kuwaua watoto hawa japo kwa sasa jamii imeshaanza kuelewa tofauti na zamani,

hii ni imani potofu na ualbino ni tatizo ambalo kitaalam husababishwa na ukosefu wa kichocheo cha Melanin,ambacho kazi yake kubwa ni kuipa Ngozi Rangi yake.

MADHARA YA IMANI HIZI POTOFU NI PAMOJA NA;

– Kusababisha Ugomvi katika jamii

– Kusababisha hali ya msongo wa mawazo

– Kusababisha madhara katika afya ya mwili kama mwili kudhoofika,kukosa nguvu n.k

– Kusababisha vifo katika jamii

– Kuleta hali ya unyanyapaa ndani ya jamii

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In https://afyaclass.com Also Follow us on Instagram @afyaclass

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa3 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

magonjwa ya wanaume4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa3 days ago

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani

kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani Unapopata tatizo la kuharisha na kutapika kwa wakati mmoja unaweza kuwaza sana,...

Magonjwa5 days ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa2 weeks ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa4 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa1 month ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Trending