Ticker

6/recent/ticker-posts

TABIA HATARISHI ZINAZOWEZA KUSABABISHA UGUMBA



UGUMBA

• • • • • •

TABIA HATARISHI ZINAZOWEZA KUSABABISHA UGUMBA

.

Kwa hivi sasa moja ya matatizo makubwa yanayosumbua ndoa nyingi ni watu au wanandoa kukosa watoto, Zipo baadhi ya tabia ambavyo huweza kuwa chanzo kikubwa cha tatizo la Ugumba kwa watu.


TABIA HATARISHI ZINAZOWEZA KUSABABISHA UGUMBA NI PAMOJA NA;


- Matumizi ya pombe kupindukia/kupita kiasi au kuwa Mlevi


- Kuwa na tabia ya kuvuta sigara mara kwa mara


- Kuwa na tabia ya kutoa mimba mara kwa mara hapo nyuma


-  Kuwa na maambukizi sugu ambayo hayatibiwi kwa asilimia kubwa, Mfano maambukizi ya fangasi,UTI au maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke ambapo kwa kitaalam hujulikana kama pelvic Inflammatory disease au PID


- Mwanaume anayefanya kazi kwenye mazingira ya joto sana na kwa mda mrefu huwa katika hatari ya kupatwa na tatizo la kuzalisha mbegu chache na zenye uwezo mdogo wa kulirutubisha Yai ambapo kwa kitaalam  hali hii hujulikana kama Low Sperm count


- Kuwa na tabia ya kujichua au kufanya punyeto


- Matumizi ya dawa hovio bila kuzingatia mashariti kutoka kwa wataalam wa afya


- Kupendelea kula vyakula kama chips huweza kumuathiri mwanaume katika uzazi wake, ikiwa ni pamoja na nguvu za kiume pamoja na uwezo wa kuzalisha mbegu bora kwa kiwango kinachotakiwa.



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.








Post a Comment

0 Comments