Magonjwa
FAHAMU NAMNA BORA YA KUBEBA MIZIGO(kwa afya ya mgongo)
MIZIGO
• • • • •
FAHAMU NAMNA BORA YA KUBEBA MIZIGO(kwa afya ya mgongo)
unyanyuaji usio sahihi wa mizigo huweza kusababisha madhara makubwa kwenye mgongo wako pamoja na uti wa mgongo kwa ujumla wake.
Madhara hayo huweza kuwa ni pamoja na;
i). Kupatwa na Maumivu makali ya mgongo
ii). Kupata majeraha au jereha mgongoni kwenye misuli ya mgongo wakati unanyanyua mzigo
iii). Kupatwa na majeraha au jeraha kwenye maungio ya uti wa mgongo
iv). Kupatwa na majeraha au jereha kwenye pingili za uti wa mgongo
v). kupatwa na maumivu makali mwisho wa uti wa mngongo
vi). Kupatwa na maumivu makali ya shingo yote
TAZAMA PICHA YETU HAPA CHINI; Maelezo ya picha hiii
1. Mtu ambaye kawekewa X kwa kutumia alama nyekundu anakosea jinsi ya kubeba mizigo na ndiyo yupo kwenye hatari ya kupata madhara ya mgongo tuliyoyataja hapo juu.
2. Mtu wa pili ambaye ana alama ya vyema rangi ya kijani anafanya sahihi kuhusu jinsi ya kubeba mizigo na mgongo wake upo salama kabsa.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Magonjwa4 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Uzazi/Ujauzito2 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Elimu&Ushauri6 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Magonjwa1 day ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Events3 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito11 hours ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
News6 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI
-
News2 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani