Ticker

6/recent/ticker-posts

MADHARA YA KUCHELEWA KULALA(na kukosa muda wa kutosha wa kulala)



  KULALA

• • • • •

MADHARA YA KUCHELEWA KULALA(na kukosa muda wa kutosha wa kulala)


Katika hali ya kawaida, tips mbali mbali za afya hushauri mtu kupata muda wa kutosha wakupumzika pamoja na kulala kwani kuna umuhimu mkubwa wa kufanya hivo.


Zipo faida nyingi za mtu kupata muda wa kutosha wa kulala katika afya ya binadamu, na katika makala yetu tunachambua kuhusu madhara ya kuchelewa kulala au kukosa muda wa kutosha wa kulala.


MADHARA YA KUCHELEWA KULALA(na kukosa muda wa kutosha wa kulala)


- Hudhoofisha uwezo wa kutunza kumbukumbu kwa mtu

- Huathiri afya nzima ya ubongo kwa mhusika

- Huleta hali ya mwili mzima kudhoofika

- Kushuka kwa kinga ya mwili,tafiti zinaonyesha watu ambao wanakosa muda wa kutosha wa kulala hupatwa na magonjwa ya mara kwa mara zaidi ya wale wanaopata muda wa kutosha wa kulala

- Hukuweka katika hatari za kupatwa na magonjwa mbali mbali ya moyo


- Hukuweka katika hatari ya kupatwa na tatizo la kukosa kabsa usingizi yaani Insomnia pale unapohitaji kulala


- Huweza kuwa chanzo cha kupatwa na magonjwa mbali mbali ambayo huhusisha mfumo mzima wa damu ikiwa ni pamoja na kuathiri mzunguko mzima wa damu


-


KWA USHAURI ZAIDI AU ELIMU TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments