Ticker

6/recent/ticker-posts

MTOTO ANAANZA KUTAMBAA NA UMRI GANI?(au miaka mingapi?)



 KUTAMBAA

• • • • •

MTOTO ANAANZA KUTAMBAA NA UMRI GANI?(au miaka mingapi?)


Swali ambalo wamama wengi hujiuliza hasa wale ambao ndyo mtoto wao wa kwanza, Wengi wao hawana uzoefu wowote hivo hujiuliza maswali mengi ikiwemo pamoja na hili, na wengi wao wakiwa na wasi wasi kwamba huenda watoto wao wana matatizo au shida yoyote.


Miongoni mwa maswali mengi ambayo wakina mama wengi waliojifungua hasa mimba za kwanza hujiuliza sana ni kama vile;


1. Hivi mtoto wangu ataanza kutambaa na umri gani?


2. Hivi mtoto wangu atatembea baada ya umri gani?


3. Hivi mtoto wangu ataanza kusimama baada ya muda gani?


4. Hivi mtoto wangu ataanza kuongea baada ya muda gani?

N.K


MTOTO ANAANZA KUTAMBAA NA UMRI GANI?


Jibu; Watoto wengi huanza kutambaa wakiwa na umri wa miezi 5 mpaka 10, huku wengi wao wakianza kutembea wakiwa na umri wa mwaka mmoja.


Japo wengine huweza kuwahi sana na wengine huweza kuchelewa sana kwa sababu mbali mbali,ikiwa ni pamoja na magonjwa yanayosababisha udumavu wa mtoto.



KWA USHAURI ZAIDI AU ELIMU TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments