Connect with us

magonjwa ya Zinaa

TIBA YA KISONONO(Ugonjwa wa zinaa)

Doctor Ombeni

Published

on

Imeboreshwa July 30, 2026 by Doctor Ombeni

 KISONONO

• • • •

TIBA YA KISONONO(Ugonjwa wa zinaa)


Kwa asilimia kubwa Mgonjwa wa kisonono hupewa Dawa ya Cefriaxone 500mg Single dose ambapo ni sindano anachomwa matakoni au sehemu yoyote yenye msuli Kwa kitaalam tunaita Intramuscular Injection(IM).


Epuka matumizi ya dawa hovio pasipo maelekezo na vipimo kutoka kwa wataalam wa afya. Kwani ni hatari kwa afya yako,badala ya kukutibu inaweza kuwa sumu ya kukuua.



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



🏆Certified| Doctor from Afyaclass.Hapa utapata Ushauri & Tiba juu ya magonjwa mbali mbali. Kwa msaada Zaidi Tuwasiliane kupitia namba: +255758286584.Pata dondoo za afya kila siku kwa kufuatilia kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *