Ticker

6/recent/ticker-posts

TIBA YA KISONONO(Ugonjwa wa zinaa)



 KISONONO

• • • •

TIBA YA KISONONO(Ugonjwa wa zinaa)


Kwa asilimia kubwa Mgonjwa wa kisonono hupewa Dawa ya Cefriaxone 500mg Single dose ambapo ni sindano anachomwa matakoni au sehemu yoyote yenye msuli Kwa kitaalam tunaita Intramuscular Injection(IM).


Epuka matumizi ya dawa hovio pasipo maelekezo na vipimo kutoka kwa wataalam wa afya. Kwani ni hatari kwa afya yako,badala ya kukutibu inaweza kuwa sumu ya kukuua.



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments