Magonjwa
DAWA YA KUTIBU PID(maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke)
PID
• • • •
DAWA YA KUTIBU PID(maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke)
PID ni ugonjwa ambao kirefu chake ni Pelvic Inflammatory disease na maana yake ni maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke.
Ugonjwa huu huwapata na kuwaathiri wanawake japo wanaume huweza kuhifadhi vimelea hivi na kuvisambaza yaani carrier.
UGONJWA WA PID HUAMBATANA NA DALILI MBALI MBALI KAMA VILE;
– Mwanamke kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
– Mwanamke kupata maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi hadi wengine kufikia hatua ya kulazwa hospitalini
– Mwanamke kutokwa na uchafu wenye rangi kama ya njano ukeni
– Mwanamke kutoa maji maji ukeni kila mara ambayo huambatana na harufu mbaya
– Mara chache pia kupatwa na miwasho maeneo ya ukeni
MATIBABU YA UGONJWA WA PID
✓ Maambukizi haya katika via vya uzazi vya mwanamke yaani PID huweza kutibiwa kwa dawa mbali mbali ikiwa ni pamoja na Doxcycline.
Hivo ni vizuri mgonjwa kwenda hospital kufanyiwa vipimo na kuanza tiba, tatizo hili linatibika kabsa.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa7 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti24 hours ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO