Magonjwa
FAHAMU HILI KUHUSU PRINCE PHILIP
PRINCE PHILIP
• • • •
FAHAMU HILI KUHUSU PRINCE PHILIP
Katika kipindi cha Uhai wake,taarifa kutoka kwa Familia yake zinasema kwamba,
Prince philip alishawahi kulazwa hospital kwa mwezi mzima kabla ya kuruhisiwa hapo March.
Na taarifa zinasema kwamba Prince philip alifanyiwa Upasuaji wa Moyo au kwa kitaalam tunasema Heart Surgery.
Na Upasuaji huu ulikuwa ni Kutokana na matatizo ya moyo ambayo yakimsumbua
Lakini taarifa za sababu za kifo chake hazikutolewa.
Kujua kuhusu magonjwa mbali mbali ya moyo ikiwa ni pamoja na ugonjwa wa shambulio la moyo(heart attack), Bofya hapa.!
#RIP #Prince philip
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti1 day ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO
-
afyatips1 hour ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini