Ticker

6/recent/ticker-posts

JE MWANAUME KUFANYA MAPENZI MARA KWA MARA NI TATIZO?



 AFYA YA UZAZI

• • • • •

JE MWANAUME KUFANYA MAPENZI MARA KWA MARA NI TATIZO?


Moja ya changamoto kubwa kwa hivi sasa ni swala la kutafta watoto, watu wengi baada ya kuoana au hata kabla ya kuoana ila wana nia ya kuwa na mtoto imekuwa vigumu sana kuwapata.


Lakini pia watu huuliza je kufanya mapenzi mara kwa mara kuna madhara?


Utakutana na makala nyingi zikielezea faida za mtu kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara, ila katika makala hii nazungumzia wale ambao wana shida ya kutafta watoto.


Tafiti zinaonyesha kwamba, mwanaume kufanya mapenzi mara kwa mara hupunguza uwezo,ubora na hata wingi wa mbegu za kiume,


Hivo unashauriwa kushiriki tendo la ndoa na mwenzi wako siku za hatari tu,ili kukusaidia kuwa na mda wa kutosha wa mbegu za kiume kutengezwa zikiwa za kutosha,zikiwa na nguvu pamoja na ubora mkubwa.


Tabia hii huongeza uwezekano wa mbegu za kiume kulirutubisha yai la mwanamke na kupata mimba


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments