Magonjwa
KUCHANGIA DAMU HAKUNA MADHARA(soma hapa)
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2021/04/images-36.jpeg)
DAMU
• • • • •
KUCHANGIA DAMU HAKUNA MADHARA(soma hapa)
Watu wengi au jamii nyingi zimekuwa zikishikilia dhana potofu kwamba uchangiaji damu una madhara makubwa mwilini, na mtu akichangia damu itamlazimu kufanya hivyo kila mara.
DHANA POTOFU KUHUSU UCHANGIAJI DAMU
-Mtu akichangia damu itasababisha damu kuongezeka kila mara na kumlazimu kutoa damu kila wakati kwenye maisha yake yote.
Dhana hii ni potofu na imekuwa ikiwapa shida sana watu wanaohamasisha mpango wa uchangiaji Damu Salama.
FAHAMU HILI; Kulingana na maumbile ya Mwanaume yalivyo, Mwanaume ana uwezo wa kuchangia damu kila baada ya Miezi 3 Bila kupata shida yoyote, Na mwanamke ana uwezo wa kuchangia damu kila baada ya Miezi 4 bila shida yoyote.
Kama mtu ana shida ya damu kuongezeka akutane na wataalam wa maswala ya Damu kuangalia kwanini chembe chembe zake za damu zinajizalisha kupita kiasi na kupata Tiba sahihi,Lakini atambue hakuna uhusiano wa kuchangia damu na damu kuongezeka kwa wingi.
Vitu ambavyo huzingatiwa wakati wa uchangiaji damu ni pamoja na Kupima Uzito wa mwili, Presha N.K.
EPUKA IMANI POTOFU CHANGIA DAMU OKOA MAISHA.
-
Uzazi/Ujauzito5 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa4 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Magonjwa2 days ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani
-
Events6 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News5 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Utafiti1 day ago
Zaidi ya vifo milioni 3 kila mwaka hutokana na matumizi ya pombe na madawa ya kulevya-WHO
-
afyatips2 hours ago
Madhara ya damu kuwa nyingi mwilini