Ticker

6/recent/ticker-posts

KUVUJA DAMU MDOMONI WAKATI WA KUPIGA MSWAKI(chanzo)



 MDOMONI

• • • • •

KUVUJA DAMU MDOMONI WAKATI WA KUPIGA MSWAKI(chanzo)


Hili ni swali kutoka kwa mmoja ya wafwatiliaji wetu aliuliza hivi;


" Mimi navuja damu mdomoni na nimeshangaa wakati napiga mswaki ndyo nmeona damu, chanzo cha tatizo hili ni nini?"


MAJIBU;


Chanzi cha kuvuja damu mdomoni wakati wa kupiga mswaki huweza kusababishwa na sababu kuu mbili kama ifuatavyo;


1. Kwanza huweza kusababishwa na wewe mwenye kuchubua ngozi ya mdomo au fizi za meno wakati unapiga mswaki


2. Sababu ya pili ni Ugonjwa; Hapa nazungumzia ugonjwa ambao hujulikana kama Hijabu/ Kiseyeye/ au scurvy.


Ugonjwa wa hijabu ni ugonjwa ambao hutokana na ukosefu wa vitamini C mwilini, ambapo kwa jina lingine hujulikana kama Kiseyeye au kwa kitaalam hujulikana kama Scurvy.


DALILI ZA UGONJWA WA HIJABU NI PAMOJA NA;


- Mgonjwa kuvuja damu maeneo mbali mbali mwilini kama vile puani,mdomoni, kwenye fizi N.K


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments