Magonjwa
MADHARA YA KULA CHIPSI KWA MJAMZITO
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2021/04/images-18.jpeg)
CHIPS
• • • •
MADHARA YA KULA CHIPSI KWA MJAMZITO
Zipo tafiti mbali mbali ambazo zimefanyika kuhusu baadhi ya vyakula pamoja na madhara yake kwa mama mjamzito.
Miongoni mwa vyakula ambavyo vimezungumzwa sana ni pamoja na chakula cha Chipsi.
Madhara ya kula chipsi kwa mjamzito huweza kutokea endapo ulaji wake umekuwa wa kiasi kikubwa na kila siku au kwa muda mrefu zaidi.
Ulaji wa chips au chakula chochote kinachohusu viazi kwa kiwango kikubwa sana ndani ya muda mrefu, huweza kuongeza sukari mwilini na kumfanya mama mjamzito kuwa katika hatari ya kupata kisukari wakati wa Ujauzito.
Hivo ulaji wa vyakula hivi hutakiwa kwa kiwango cha wastani sana au tunasema ule mlo ambao ni balance diet.
Pia epuka kula vyakula vya mafuta kwa kiwango kikubwa sana kipindi cha ujauzito,kwani vyote hivi vinaweza kuleta athari mbali mbali kwako.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2021/04/images-18-300x125.jpeg)
-
Magonjwa4 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Uzazi/Ujauzito2 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Elimu&Ushauri6 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Magonjwa1 day ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Events3 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito11 hours ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
News6 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI
-
News2 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani