afya
MADHARA YA KUWA NA HASIRA KWA MUDA MREFU
Imeboreshwa July 10, 2026 by Doctor Ombeni
HASIRA
• • • •
MADHARA YA KUWA NA HASIRA KWA MUDA MREFU
Katika hali ya kawaida binadamu wameumbwa na hasira ila hazitakiwi zikawa za muda mrefu kwani huleta madhara makubwa kwa mhusika.
MADHARA YA KUWA NA HASIRA KWA MUDA MREFU NI PAMOJA NA;
1. Kuwa katika hatari ya kupatwa na magonjwa ya moyo ikiwa ni pamoja na ugonjwa wa shambulio la moyo au kwa kitaalam Heart attack
2. Kuwa katika hatari ya kupata ugonjwa wa kiharusi(stroke)
3. Kupatwa na maumivu makali ya kichwa mara kwa mara
4. Kupatwa na tatizo la Vidonda vya tumbo
5. Kuwa na shida ya kukosa usingizi kabsa
6. Kupata shida ya maumivu makali ya tumbo
7. Kuwa na tatizo la presha
8. Kuwa na shida ya kuingiwa na woga au hofu ambayo hudumu kwa muda mrefu
9. Kubadilika mapigo ya moyo na kwenda mbio
10. Kusababisha hasara kubwa,vifo,majeruhi N.K
11. Kusababisha tatizo la Msongo wa mawazo
12.Kushusha kinga yako ya mwili
13. Kwa mama mjamzito madhara huweza kutokea hadi kwa mtoto aliyetumboni
Epuka tabia hii,jijengee tabia na mazoea ya kuwa mtu wa kukasirika na kusau ndani ya muda mfupi
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.
-
magonjwa2 years ago
Muwasho sehemu za siri kwa mwanaume chanzo chake
-
jinsi ya kupunguza tumbo2 years ago
Mbinu za jinsi ya kupunguza tumbo kwa haraka
-
Afya ya mtoto2 years agoMambo ya kuzingatia kwenye utunzaji wa Kitovu cha Mtoto mchanga
-
Madhara ya mtoto kunywa maji machafu4 weeks agoMadhara ya mtoto kunywa maji machafu au maji ya uzazi
-
Madhara ya Pombe3 weeks agoJE, POMBE hupunguza testosterone na Ubora wa mbegu za Kiume?
-
afya5 years agoCHANZO CHA TATIZO LA KUPASUKA MIGUU KWENYE KISIGINO(gaga)
-
uzazi1 week agoVyakula vya kuongeza maziwa kwa mama anayenyonyesha
-
afya5 years agoFAHAMU KUHUSU VIRUSI VYA CORONA NA UGONJWA WA COVID 19(chanzo,dalili,madhara,tiba)



