Ticker

6/recent/ticker-posts

TATIZO LA KUOTA VIPELE PEMBENI YA UUME(chanzo)



 AFYA KWA WANAUME

• • • • •

TATIZO LA KUOTA VIPELE PEMBENI YA UUME(chanzo)


Baadhi ya wanaume hutokewa na tatizo la kuwa na vipele sehemu zao za siri hasa maeneo ya pembeni na uume.


Je chanzo chake ni nini?


Tatiz hili huweza kuwatokea watu ambao wamepatwa na mashambulizi ya kirusi aina ya HUMAN PAPPILOMA VIRUS au kwa kifupi HPV.


Na mashambulizi haya kwa Kitalaam hujulikana kama Genital warts.


Kirusi cha HPV husambaa kwa njia ya Kujamiiana hivo basi, tatizo hili ni miongoni mwa magonjwa ya zinaaa ambayo huweza kumtokea mtu wa jinsia yoyote (wanawake na wanaume).


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments