Ticker

6/recent/ticker-posts

TATIZO LA MWANAMKE KUCHUBUKA UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA



 MWANAMKE

• • • • •

TATIZO LA MWANAMKE KUCHUBUKA UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA


Tatizo la mwanamke kuchubuka ukeni wakati wa kufanya mapenzi huweza kuchangiwa na sababu mbali mbali kama vile;


- Mabadiliko ya vichocheo mwilini yaani hormone imbalance hali ambayo inapelekea ukavu ukeni kutokana na kuathiriwa kwa tezi linalozalisha unyevu unyevu,ute ute na kuleta hali ya utelezi ukeni,


Tezi hili hufanya kazi chini ya udhibiti wa vichocheo vya mwili yaani Hormones.


Katika hali ya kawaida mazingira ya ukeni hutakiwa kuwa na unyevu unyevu sio kukauka.


- Sababu nyingine ni maambukizi ya magonjwa mbali mbali kama vile UTI,FANGASI UKENI, au Maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke yaani PID


- Kufanya mapenzi ukiwa huna hisia ya kufanya mapenzi na bila kufanyiwa maandalizi ya kutosha kabla ya kufanya mapenzi


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments