News
UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE(afya ya mifugo)
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2021/04/images-17.jpeg)
AFYA YA MIFUGO
• • • • • •
UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE(afya ya mifugo)
Ugonjwa wa homa ya nguruwe ni ugonjwa ambao husababishwa na vimelea vya magonjwa jamii ya Virusi na kushambulia Nguruwe.
Ugonjwa huu wa homa ya nguruwe umeua nguruwe wengi sana na kwa haraka zaidi kuliko magonjwa mengine katika maeneo mbali mbali ya dunia.
NB; Ugonjwa huu wa homa ya nguruwe hushambulia na kuathiri zaidi maeneo haya katika mwili wa nguruwe; Mfumo mzima wa damu, Mfumo wa chakula, pamoja na Mfumo wa upumuaji.
DALILI ZA UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE NI PAMOJA NA;
1. Joto la mwili wa nguruwe kuwa juu sana au nguruwe kuwa na homa
2. Nguruwe kukosa kabsa appetite ya chakula, hivo hata ukimpa chakula nguruwe hataki kula
3. Vifo vya gafla kwa nguruwe wengi
4. Nguruwe kunyong’onyea sana
5. Nguruwe kutoa damu kwenye maeneo mbali mbali ya mwili wake kama vile masikioni,puani N.K
6. Nguruwe kulala lala kila mara
7. Nguruwe kupata shida ya upumuaji
8. Rangi ya ngozi kwa nguruwe kubadilika na kupauka zaidi
9. Nguruwe kuharisha kinyesi kilichochanganyika na damu
10. Eneo la matakoni kubadilika rangi na kuwa jekundu zaidi
11. Nguruwe kupatwa na hali ya kikohozi kila muda
MATIBABU YA UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE
– Mpaka sasa bado hakuna tiba ya moja kwa moja kwa ajili ya kutibu ugonjwa huu, Matibabu ya homa ya nguruwe yapo katika kudhibiti dalili mbali mbali za ugonjwa huu.
![](https://afyaclass.com/mk_omb/uploads/2021/04/images-17-300x225.jpeg)
-
Magonjwa5 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Uzazi/Ujauzito3 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Magonjwa2 days ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Uzazi/Ujauzito1 day ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
Events4 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
News3 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani
-
Magonjwa4 hours ago
kuharisha na kutapika ni dalili za ugonjwa gani