Ticker

6/recent/ticker-posts

FAIDA ZA MBEGU NA MAJANI YA MLONGE MWILINI



 MLONGE

• • • • •

FAIDA ZA MBEGU NA MAJANI YA MLONGE MWILINI


Bila shaka ulishawahi kusikia kuhusu mlonge kama basi hujawahi kuuona au kuutumia, 


Mti huu una faida nyingi sana kwenye mwili wa binadamu, na katika makala hii tutachambua baadhi ya faida chache kuhusu matumizi ya mbegu za Mlonge pamoja na Majani yake


FAIDA ZA MBEGU ZA MLONGE PAMOJA NA MAJANI YAKE MWILINI


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana katika kuupa mwili nguvu


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kuongeza hamu ya chakula kwa mtu mwenye shida ya kukosa hamu ya kula


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kuondoa tatizo la mtu kuwashwa kutokana na mchafuko wa kwenye damu


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kuongeza kiwango cha CD-4 hivo kuwa faida kubwa kwa wagonjwa wa Ukimwi


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kwa wagonjwa wa Kisukari


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kwa wagonjwa wa shinikizo la Damu au Presha


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana hata kwa mgonjwa wa Malaria


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kwa mtu ambaye hupatwa na uchovu wa mara kwa mara


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kwa mtu ambaye hupatwa na Homa za mara kwa mara


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kwa watu Wenye Kansa au Saratani ya Tumbo


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kuongeza virutubisho muhimu mwilini kama vile; Madini ya Potassium, Calcium pamoja Na vitamin A na C


- Matumizi ya majani ya Mlonge husaidia sana kwa watu wenye magonjwa mbali mbali ya Ngozi


- Matumizi ya Mlonge husaidia sana kwa watu wanaopatwa na majipu ya Mara kwa mara


- Lakini pia baadhi ya tafiti zinaonyesha kwamba matumizi ya mlonge huongeza kiu ya maji, na kumfanya mtumiaji kunywa maji mengi swala ambalo ni muhimu sana na lina faida kubwa kwenye afya ya mwili


- Mlonge husaidia sana kuimarisha umeng'enyaji wa chakula mwilini


- Matumizi ya mlonge husaidia kuimarisha kinga yako ya mwili

N.k


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments