Ticker

6/recent/ticker-posts

TIPS ZA AFYA KWA WATU WENYE UZITO MKUBWA AU WANENE KUPITA KIASI



 UZITO

• • • • • 

TIPS ZA AFYA KWA WATU WENYE UZITO MKUBWA AU WANENE KUPITA KIASI


Nukuu ya Leo; uzito kupita kiasi au unene ni chanzo cha matatizo mengi mwilini Kama vile; 


✓ presha au shinikizo la Damu


✓ Ugonjwa wa kisukari


✓ Magonjwa mbali mbali ya moyo


✓ Tatizo la uvimbe kwenye Kizazi


✓ Matatizo ya Kansa au Saratani N.K


TIPS ZA AFYA KWA WATU WENYE UZITO MKUBWA AU WANENE KUPITA KIASI


Zingatia mambo haya kwa ajili ya afya yako;


- Epuka kula vyakula ambavyo vina kiwango kikubwa sana cha mafuta mabaya


- Fanya mazoezi kila siku,angalau kwa Dakika 30 au nusu saa


- Epuka kula vyakula vya aina moja tu kila siku, bali kula chakula ambacho kina virutubisho vyote katika kiwango sahihi mwilini yaani Balance diet


- Epuka matumizi ya pombe kupita kiasi


- Fanya checkup za mara kwa mara 


- Pata muda wa kutosha wa kulala


- dhibiti kiwango cha mawazo na kuepuka msongo wa mawazo


• Kujua zaidi kuhusu tatizo la Uzito mkubwa na JINSI ya Kupunguza UZITO soma hapa.!!


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments