Ticker

6/recent/ticker-posts

Dawa za Kukausha kidonda,kuzuia maambukizi Na SABABU za Kidonda Kutokupona Haraka



KIDONDA

• • • • • •

Dawa za Kukausha kidonda,kuzuia maambukizi Na SABABU za Kidonda Kutokupona Haraka

SABABU ZA KIDONDA KUCHELEWA KUPONA

Tukianzia hapa, kuna baadhi ya sababu mbali mbali ambazo huzuia kidonda kupona kwa haraka au kuchelewesha vidonda kupona au kusababisha vidonda kutokupona kabsa,na baadhi ya sababu hizo ni kama vile;

1. Mtu kuwa na tatizo la sukari

2. Mtu kuwa na kinga ya mwili ndogo huweza kusababisha kidonda kuendelea kushambuliwa zaidi

3. Kuwa na mzunguko wa damu mbaya hasa kuzunguka eneo la kidonda yaani poor blood circulation

4. Kuwa na tatizo la unene au uzito kupita kawaida au Obesity

5. Eneo la Kidonda kutokufanyiwa usafi

6. Mtu kupata kidonda katika umri mkubwa

7. Lishe duni

8. Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu na kutokufanya mazoezi yoyote

N.k

DALILI ZA KIDONDA AMBACHO KIMESHAMBULIWA NA VIMELEA VYA MAGONJWA KAMA BACTERIA N.K

- kidonda kutoa usaha muda wote

- kidonda kutoa harufu mbaya

- Rangi ya kidonda pamoja na ngozi kuzunguka kidonda kuwa na rangi ya njano

- Kidonda kukusababishia homa mara kwa mara

N.K

DAWA ZA KUKAUSHA KIDONDA,KUZUIA PAMOJA NA KUTIBU MAAMBUKIZI KWENYE KIDONDA

Zipo dawa mbali mbali kwa ajili ya Kukausha, kuzuia na kutibu maambukizi kwenye kidonda na tatizo lako likaisha kabsa.

Kama Una Tatizo hili na bado hujapata Msaada kabsa;

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Post a Comment

0 Comments