Ticker

6/recent/ticker-posts

Madhara ya kutumia dawa za Kujikondesha au kupunguza unene na uzito mkubwa(Diet pills)



   DIET PILLS

• • • • • •

Madhara ya kutumia dawa za Kujikondesha au kupunguza unene na uzito mkubwa(Diet pills)


Kulingana na dawa ulizotumia, Baadhi ya dawa ambazo hutumika kwa lengo la kupunguza unene na uzito mkubwa kwa mtu, ambazo ni maarufu kama Diet pills huweza kusababisha madhara mbali mbali mwilini kama vile;


1. mtu Kupatwa na tatizo la tumbo kujaa gesi au tatizo la bloating


2. Mtu Kupatwa na tatizo la kuanza kuharisha


3. Mtu Kupatwa na tatizo la kukosa usingizi kabsa


4. Mtu Kujisaidia kinyesi kama chenye mafuta yaani Oily stool


5. Mtu Kupatwa na kichefuchefu pamoja na kutapika mara kwa mara


6. Mtu kupatwa na tatizo la Kushuka kwa presha ya mwili


7. Mtu kupatwa na tatizo la choo kigumu


8. Mtu kupatwa na maumivu makali ya kichwa mara kwa mara


9. Mtu kupatwa na tatizo la kizunguzungu


10. Mtu kupatwa na shida ya kukauka sana mdomo


11. Mtu kupatwa na maumivu makali ya tumbo


12. Kuathiriwa kwa mfumo mzima wa umeng'enyaji wa chakula mwilini hasa vyakula jamii ya mafuta au Fat


13. Kupatwa na tatizo la presha kuwa juu sana


14. Kupatwa na matatizo ya kutokuona vizuri


15. Kusababisha matatizo ya figo


16. Kusababisha matatizo mbali mbali ya moyo

N.k


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.







Post a Comment

0 Comments