Ticker

6/recent/ticker-posts

MAJI NI MUHIMU SANA KWA MAMA MJAMZITO



 MJAMZITO

• • • • • •

MAJI NI MUHIMU SANA KWA MAMA MJAMZITO


Maji ni muhimu kwa mjamzito , na mahitaji ya maji huongezeka pia unapokua mjamzito . Kwahiyo kunywa maji ya kutosha kadiri unavyojisikia kiu au uhitaji

.

.

Pia vinywaji vingine salama na vizuri kwa mjamzito ni kama vile juice ya limao , maziwa, juice ya matunda , juice ya mbogamboga (mfano juice ya karoti 🥕)

.

Juice ya limao itakusaidia kupunguza pia hali ya kujisikia kichefuchefu na kutapika,  ijaribu uone 🤝

.

.

 Epuka kunywa pombe , energy drinks , juice mimea tiba asili ( Labda kama upo katika uangalizi au daktari wako anafahamu - Ni rahisi sana ujauzito wako kupata madhara , endapo hamna uthibitisho wowote wa viwango unavyotumia )


#afyasolution






Post a Comment

0 Comments