Ticker

6/recent/ticker-posts

TATIZO LA MAFUA AMBAYO HAYAISHI



  MAFUA

• • • •

TATIZO LA MAFUA AMBAYO HAYAISHI


Tatizo la mafua hutokea kwa kila mtu, japo kuna baadhi ya watu tatizo hili limekuwa la muda wote hali ambayo hupelekea madhara mengine kama vile;


- Maumivu makali ya kichwa


- Joto la mwili kupanda au mtu kuwa na homa


- Mwili kutetemeka au chills


- Mtu kukosa hamu ya kula chakula


- Mtu kutoa jasho sana


- Mwili kuchoka sana

n.k


UKIONA DALILI HIZI HAPA CHINI LAZIMA UKUTANE NA WATAALAM WA AFYA KWA AJILI YA TIBA


• Mtu kushindwa kupumua na kukosa hewa


• kupata maumivu makali ya kifua


• Kupata kizunguzungu kikali


• Mwili kutetemeka au seizures


• Mwili kudhoifika na misuli ya mwili kukosa nguvu


• Kupata dalili zote za kuishiwa na maji ya mwili kama ngozi kukakamaa,n.k


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.





Post a Comment

0 Comments