Ticker

6/recent/ticker-posts

UGONJWA WA SONONA au Depression(MFADHAIKO) maana yake na Dalili zake



   SONONA

• • • • • •

UGONJWA WA SONONA au Depression(MFADHAIKO) maana yake na Dalili zake


Ugonjwa wa Sonona ni tatizo ambalo huhusisha mtu kuwa na huzuni kuu hali ambayo humpelekea kukosa furaha,kukata tamaa,n.k


Kumbuka; Msongo wa mawazo ambao umepita kiasi husababisha mtu kuingia kwenye tatizo la Sonona


DALILI ZA UGONJWA WA SONONA NI ZIPI?


✓ Mtu kukosa usingizi kabsa


✓ Mtu kupata huzuni kuu moyoni


✓ Mtu kupata mfadhaiko wa moyo


✓ Mtu kushindwa kufanya kazi zake za kila siku wakati haumwi


✓ Mtu kujitenga sana na watu


✓ Mtu kulala sana kuliko kawaida


✓ Mtu kukosa kabsa hamu ya kula chakula


✓ Mtu kupungua sana uzito kwa kasi


✓ Au uzito kuongezeka kwa kasi zaidi


✓ Mtu kutokujiamini


✓ Mtu kuhisi kudharauliwa kila mara


✓ Mwili kuchoka kupita kiasi


✓ Mtu kutamani kujiua


✓ Mtu kujiona sio wathamani kabsa

N.K


Kujua zaidi Kuhusu UGONJWA WA SONONA(DEPRESSION AU MFADHAIKO) soma hapa


    • KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584
    •  






Post a Comment

0 Comments