Connect with us

Magonjwa

CHANZO CHA TATIZO LA KUISHIWA NGUVU MWILINI PAMOJA NA TIBA YAKE

Avatar photo

Published

on

CHANZO CHA TATIZO LA KUISHIWA NGUVU MWILINI PAMOJA NA TIBA YAKE

mwili kukosa nguvu husababishwa na nini, Je unapata shida ya Mwili kuchoka bila sababu?

Tatizo hili la mwili kukosa nguvu huwapata watu wengi kwa hivi sasa,hadi wengine kufikia hatua ya kudondoka gafla,au kushindwa kufanya kazi za kawaida,mfano kwa wafanyakazi wa ndani n.k

Tatizo la mwili kuishiwa nguvu huweza kumpata mtu yoyote bila kujali umri wake wala jinsia yake.

Kukosa nguvu mwilini huweza kuwa tatizo la kujirudia mara kwa mara ndani ya muda mfupi kisha kutulia kulingana na chanzo husika cha tatizo hili.

Hali hii ya mwili kukosa nguvu inaweza hata kupelekea viungo vya mwili kukosa nguvu ikiwa ni pamoja na miguu kuishiwa nguvu au miguu kukosa nguvu.

BAADHI YA SABABU AMBAZO, HUWEZA KUCHANGIA MTU KUPATWA NA TATIZO LA KUISHIWA NGUVU MWILINI

tatizo la mwili kukosa nguvu huweza kusababishwa na sababu mbali mbali,na katika makala hii tumechambua baadhi ya sababu za mwili kukosa nguvu

sababu ya mwili kukosa nguvu ni Pamoja na;

1. Mtu kupatwa na magonjwa mbali mbali kama vile;

  •  Ugonjwa wa Malaria,UTI,PID n.k
  • Magonjwa mbali mbali ya Moyo ikiwa ni pamoja na mishipa ndani ya moyo kuziba, shambulio la moyo yaani Heart attack n.k
  • Aina mbali mbali za kansa au saratani
  • Magonjwa ya mfumo wa upumuaji pamoja na mapafu kama vile; pneumonia n.k
  • Mtu kupatwa na tatizo la STROKE(kiharusi), Mishipa ya damu kichwani kupasuka na kuanza kuvuja damu kwenye Ubongo
  • Kuwa na tatizo la Presha au shinikizo la Damu
  • Magonjwa ya mfumo wa kinga ya mwili yaani Autoimmune diseases kama vile; LUPUS, MULTIPLE SCLEROSIS n.k
  • Kuwa na tatizo la kuishiwa na damu mwilini yaani ANEMIA

2. Sababu zingine ni kama vile;

• Mtu kupatwa na tatizo la kuishiwa na Maji mwilini

• Dalili za tatizo la msongo wa mawazo,sonona au Hofu kuu

• Madhara ya Baadhi ya Dawa, ikiwa ni pamoja na mtu kuoverdose dawa au kutumia dawa zisizosahihi kulingana na tatizo lake

• Ulaji wa vyakula vingi ambavyo husababisha kuongezeka kwa kiasi kikubwa cha Insulin mwilini hali ambayo hupelekea kushuka kwa SUKARI mwilini kwa kasi zaidi, tatizo ambalo hupelekea mtu kuanza kuishiwa na nguvu mwilini

• Ulaji wa nyama kwa wingi zaidi kuliko vyakula vingine, hali ambayo hupelekea uzito wa mwili kuongezeka sana, lakini kuishiwa na nguvu mwilini

• Mtu kupatwa na tatizo la kutokupata usingizi wa kutosha kila siku

• Mwili kukosa kabsa mazoezi hasa kwa watu ambao hufanya kazi za kukaa kwa muda mrefu

N.k

3. Wakati mwingine tatizo la kuishiwa nguvu kwa mjamzito hutokea,

Mwili kukosa nguvu kwa Mjamzito n.k

4. Kuishiwa Damu mara kwa mara

KUMBUKA; Tatizo la mwili kukosa nguvu na kutetemeka husababishwa na sababu nyingi sana,hivo kujua chanzo na kupata tiba sahihi lazima uongee na wataalam wa afya kwanza.

MATIBABU YA TATIZO HILI LA MWILI KUISHIWA NA NGUVU

Dawa ya mwili kukosa nguvu,tiba ya mwili kuishiwa nguvu itategemea kwenye chanzo chake, Mfano;

Kama tatizo ni Malaria,UTI,Tatizo la Vidonda vya Tumbo,Presha,Sukari,magonjwa ya Moyo,matatizo kwenye mfumo wa hewa kama Pneumonia, n.k

lazima Upate Tiba ya Vitu hivi,

Lakini Pia Unashauriwa Kubadili Mtindo wako wa Maisha(Lifestyles)

Zingatia Haya Kwenye Kubadili Mtindo Wa Maisha Kama Una shida ya UCHOVU PIA

Mwili kukosa nguvu na kuchoka au mwili kuuma na kukosa nguvu,unaweza kupambana na hali hii kwa kubadilisha baadhi ya mambo kama vile;

  • Acha kabsa matumizi ya Pombe au dhibiti matumizi yako ya Pombe
  •  Epuka kutumia Dawa zozote pasipo maelekezo ya wataalam wa afya
  • Fanya Mazoezi mbali mbali ya Mwili
  •  Pata Muda wa kutosha wa Kulala
  •  Pata muda wa mapumziko,epuka kufanya kazi nyingi sana
  • kula mlo kamili()

Mwili kuchoka ni dalili ya nini

mwili kuchoka na kukosa nguvu,

wakati mwingine hali ya mwili kuchoka huweza kukupata mpaka ukashindwa kuendelea na kazi zako za kila siku,

Sababu inaweza kuwa;

– Kufanya kazi kupita kiasi

– Kukosa muda wa kutosha wa kulala

– Kukosa muda wa kupumzika

– Kutokunywa maji ya kutosha

– Upungufu wa maji mwilini

– Magonjwa mbali mbali kama vile Malaria,UTI n.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA Juu ya tatizo la kuishiwa nguvu mwilini TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 months ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 months ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa3 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa3 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa5 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake5 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa4 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu

Dalili za infection kwenye damu Mchafuko wa damu,chanzo,dalili na Tiba Mchafuko wa damu; hiki ni kiswahili ambacho watu wamezoea kukitumia...

Magonjwa4 days ago

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri

Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri Yapo magonjwa mbali mbali ya ngozi ambayo huweza kuathiri Sehemu za Siri za Mwanaume...

Magonjwa1 week ago

Dalili za acid reflux,Soma hapa Kufahamu

Dalili za acid reflux: Tatizo la Gastroesophageal reflux disease (GERD), ni tatizo ambalo huwapata Watu wengi,Tatizo hili hujulikana kwa jina...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO

Ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe,VITILIGO Vitiligo ni ugonjwa wa ngozi kuwa nyeupe au ni ugonjwa ambao huhusisha ngozi kupoteza rangi...

Magonjwa4 weeks ago

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu

Mlipuko wa ugonjwa wa macho,Macho Mekundu Baada ya Ugonjwa huu wa macho kusumbua watu wengi kwa kipindi cha Hivi Karibuni,...

Magonjwa4 weeks ago

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu

Scabies ni ugonjwa gani? Soma hapa kufahamu Utangulizi: Scabies huhusisha mtu kuwa na vipele na muwasho kwenye ngozi yake ambapo...

Magonjwa1 month ago

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume

Dalili za ugonjwa wa gono kwa mwanaume Gono ni neno maarufu ambalo kirefu chake ni Gonorrhea na kiswahili chake ni...

Magonjwa1 month ago

Dalili Mpya za ukimwi kwenye ngozi

Zipi ni Dalili za ukimwi kwenye ngozi Zipi ni dalili za Ukimwi kwenye ngozi ya mtu? Fahamu hapa kupitia makala...

Magonjwa1 month ago

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu

Madhara ya COVID-19: Athari za Ugonjwa, Asili na Matibabu Huu ni ugonjwa wa kuambukiza uliosababishwa na kirusi cha corona, ambao...

Magonjwa1 month ago

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake

Ishara za Maambukizi ya Njia ya Mkojo (UTI) kwa Wanaume na Wanawake Karibu! Hapa kwa makala yenye taarifa muhimu kuhusu...

Trending