Ticker

6/recent/ticker-posts

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI NA MWANAMKE ALIYOPO KWENYE HEDHI



 HEDHI

• • • • •

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI NA MWANAMKE ALIYOPO KWENYE HEDHI


Mbali na kwamba kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni sawa na kufanya mapenzi kwenye mazingira machafu na hatarishi mno,Pia kuna magonjwa mengi ambayo wahusika wote wawili huweza kuyapata yaani Mwanaume na Mwanamke.


1. MADHARA KWA MWANAMKE


- Kuongezeka kwa damu ambayo hutoka wakati wa period(hedhi) na kuanza kutoka nyingi


- Kuwa katika hatari ya kupata maambukizi kwenye via vya uzazi yaani PID ikiwa ni pamoja na kwenye shingo ya kizazi n.k


- Kuwa katika hatari ya kupatwa na magonjwa ya Zinaa ikiwa ni pamoja na maambukizi ya UKIMWI


- Kupata maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi na wakati wa tendo la ndoa


- Kuwa katika hatari ya kupatwa na Ugonjwa wa Homa ya Ini(Hepatitis)


- Kuwa na tatizo la kupatwa na hofu pamoja na wasiwasi mara kwa mara


- Uwezekano wa kubeba mimba ambayo haitarajiwi upo japo ni mdogo sana


- Mirija ya uzazi kuziba pamoja na kupatwa na tatizo la kushindwa kubeba mimba


- Kupatwa na tatizo la kuvimba kwa kuta za ndani ya uke

N.k



2. MADHARA KWA MWANAUME


- Mwanaume kupatwa na maambukizi kwenye mfumo mzima wa mkojo ikiwa ni pamoja  na njia ya mkojo,Kibofu cha mkojo,Figo n.k


- Mwanaume kupatwa na tatizo la kuziba kwa Njia ya Mkojo


- Mwanaume kupatwa na matatizo kwenye tezi dume(Prostate gland)


- Mwanaume Kutokufurahia tendo la ndoa,kwani limefanyika kwenye mazingira machafu sana,mazingira ya damu,maji maji,harufu,N.k


Lakini pia kufanya mapenzi mwanamke akiwa kwenye hedhi huweza kuleta matatizo ya uzazi kwa wote wawili(mwanamke na mwanaume)


Epuka kufanya mapenzi kipindi cha hedhi au Period kwani sio salama kwa afya yako


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.





Post a Comment

0 Comments