Ticker

6/recent/ticker-posts

MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA PAMOJA NA NJIA NYINGINE



NJIA ZA UZAZI WA MPANGO

. . . . . .

MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA PAMOJA NA NJIA NYINGINE


MADHARA YA SINDANO


(1) Kuwa na tatizo la hedhi isiyosawa, kubadilika badilika,kublid damu nyingi na kwa muda mrefu,kukosa kabsa hedhi kwa muda mrefu zaidi n.k


(2) Kuumwa na kichwa mara kwa mara 


(3) Kupatwa na Kizungu zungu


(4) Tatizo la kuhisi Kichefu chefu mara kwa mara


(5) Kuongezeka uzito wa mwili kwa baadhi ya watumiaji


(6) Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa kwa baadhi ya wanawake


(7) Mwanamke kukaa muda mrefu sana bila kubeba mimba baada ya kuacha kutumia njia hii


(8) Sindano za uzazi wa mpango huweza kulainisha mifupa ya mwili pia n.k


MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA


(1) Huweza kuathiri mzunguko wa hedhi kwa mwanamke pia


(2) Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga 


(3) Tatizo la Kuumwa na kichwa mara mara


(4) Baadhi ya wanawake hupata kichefu chefu mara kwa mara


(5) Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake

N.k


MADHARA YA KIJITI


(1) Huweza kusababisha mabadiliko makubwa kwenye mzunguko wa hedhi ikiwa ni pamoja na mwanamke kupata blid ya vitone vitone


(2) Kusababisha maumivu makali ya kichwa mara kwa mara


(3) Kusababisha tatizo la kichefuchefu mara kwa mara


(4) Kusababisha tatizo la kizungu zungu cha mara kwa mara

 

(5) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa kwa baadhi ya wanawake n.k


KUMBUKA:


Sio madhara yote humpata kila mtu, kuna wengine wanaweza wasipate pia!


Soma zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango hapa..!!!


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.







Post a Comment

0 Comments