Ticker

6/recent/ticker-posts

KENYA: Awamu ya 3 ya Kampeni ya Polio imesharatibiwa Januari 27-31, 2024



KENYA: Awamu ya 3 ya Kampeni ya Polio imesharatibiwa Januari 27-31, 2024.

Awamu ya 3 ya Kampeni ya Polio imeratibiwa Januari 27-31, 2024, katika kaunti za Mandera, Wajir, na Garissa!

Dhamira kubwa ikiwa ni kuwalinda watoto chini ya miaka 5 dhidi ya polio.

Zaidi ya hayo, Wizara ya Afya nchini Kenya inasema hivi;

Lakini subiri, kuna zaidi! Katika Kaunti Ndogo za Fafi na Daadab, zikiwemo kambi za wakimbizi, tunapanua kampeni ili kujumuisha watoto wote walio chini ya umri wa miaka 15.

Haya ni Maelekzo kwenye page ya wizara ya Afya nchini Kenya;

“Round 3 of the Polio Campaign is scheduled for January 27th-31st, 2024, in Mandera, Wajir, and Garissa counties! Our mission? To safeguard children under 5 from polio.

But wait, there’s more! In Fafi and Daadab Sub Counties, including refugee camps, we’re expanding the campaign to include all children under 15 years old”.



Post a Comment

0 Comments