Connect with us

Magonjwa

kuongezeka uzito kipindi cha ujauzito

Avatar photo

Published

on

kuongezeka uzito kipindi cha ujauzito

Wanawake wengi wakiwa wajawazito lazima waongezeke uzito kati ya kilograms 11.5 mpaka 16 kilograms),

Wengi wao watapata ongezeko la kilogram 1 mpaka 2 kilograms kwenye kipindi cha miezi mitatu ya mwanzo(First trimester),

Kisha ongezeko la 0.5 kilogram kwa wiki ndani ya kipindi chote cha Ujauzito. Ongezeko la Uzito hutegemea na sababu mbali mbali kipindi cha Ujauzito.

Kumbuka: Mwanamke mwenye Uzito kupita kiasi(Overweight women) anatakiwa kuongezeka chini ya kilogram 4 mpaka 11 kilograms au pungufu ya hapa kutegemea na Uzito aliokuwa nao kabla ya kubeba Ujauzito,

Na Mwanamke mwenye Uzito mdogo(Underweight women) atatakiwa kuongezeka kwa kilogram zaidi ya kilogram 13 mpaka 18 kilograms.

Lakini pia ni lazima uzito wako uongezeke zaidi ikiwa una mtoto zaidi ya mmoja tumboni(multiple pregnancy),

MFANO: kwa Mwanamke mwenye mimba ya mapacha ni lazima aongezeke uzito wa kuanzia kilograms 16.5 mpaka 24.5 kilograms.

Moja ya vitu muhimu vya kuzingatia ili kupata uzito sahihi kwa mjamzito ni lishe, hakikisha unakula mlo kamili wenye virutubisho vyote vinavyotakiwa kwa maendeleo bora ya mtoto au ujauzito wenye afya,

Kwa Wanawake wengi wakiwa wajawazito, hiki ndyo kiwango Sahihi cha kalories wanachotakiwa kupata;

  • 1,800 calories kwa siku kwenye miezi 3 ya kwanza ya Ujauzito(1st trimester)
  • 2,200 calories kwa siku kwenye miezi 3 ya pili ya ujauzito(2nd trimester)
  • 2,400 calories kwa siku kwenye miezi 3 ya tatu ya ujauzito(3rd trimester).

Sababu au Chanzo cha kuongezeka uzito kipindi cha ujauzito

Kwa Aslimia kubwa kuongezeka uzito kipindi cha ujauzito sio kwa sababu ya mafuta kuwa mengi(fat), bali ni sababu zinazohusiana na mtoto,

Na hizi hapa ni sababu kwanini umeongezeka kilogram 16 wakati wa ujauzito;

(1). Mtoto: kuchangia uzito wa kilogram 3.5

(2). Kondo la nyuma(Placenta): kilogram 1 mpaka 1.5 kilograms

(3). Maji ya Uzazi(Amniotic fluid): kilogram 1 mpaka 1.5 kilograms

(4). Tisu za matiti/maziwa(Breast tissue): kilogram 1 mpaka 1.5 kilograms

(5) Ugavi wa damu(Blood supply): kilograms 2

(6) Mafuta/Fat stores: kilogram 2.5  mpaka 4 kilograms

(7). Ongezeko la kizazi(Uterus growth): kilogram 1 mpaka 2.5 kilograms.

Jinsi ya kudhibiti kuongezeka uzito kipindi cha ujauzito

Ni muhimu kujua jinsi ya kudhibiti Uzito ukiwa mjamzito ili kukusaidia kuwa na ujauzito wenye afya bora na kujifungua Salama.

Wanawake wengine tayari wana uzito kupita kiasi kabla hata ya kupata ujauzito. Wengine huongezeka uzito haraka sana wakati wa ujauzito. Kwa njia yoyote, mwanamke mjamzito anapaswa kuongezeka uzito kwa kiwango kinachotakiwa wakati wa ujauzito kulingana na umri wa mimba yake.

Ni bora kuzingatia kula vyakula sahihi na kufanya Mazoezi. Ikiwa hutapata uzito wa kutosha wakati wa ujauzito, wewe na mtoto wako mnaweza kuwa na matatizo.

Hivi hapa ni baadhi ya Vidokezo vinavyoweza kukusaidia kudhibiti kuongezeka uzito kipindi cha ujauzito;

âś“ Kula Mlo kamili wenye virutubisho vinavyotakiwa kwa kiwango sahihi,

Usisahau matunda na mboga za majani kwa wingi kwenye mlo wako, vitu hivi vina vitamins vya kutosha na kiwango kidogo cha Calories na mafuta(fat).

âś“ Epuka vyakula au vinywaji vyenye kiwango kikubwa cha Sukari

âś“ Usile vyakula vya mafuta mengi kwa kiwango kikubwa, kama vile Chips n.k

âś“ Hakikisha unafanya Mazoezi,

Unashauriwa kufanya mazoezi kwa kiasi(Moderate exercise), kwa ajili ya afya yako na mtoto aliyetumboni,

Hii husaidia pia kuunguza kalories zilizozidi.

Mazoezi kama vile; Kutembea na kuogelea ni mazoezi mazuri kwa mama mjamzito.

Hakikisha Unazungumza na mtoa huduma wako kabla ya kuanza programu ya mazoezi.

Hivyo ndyo baadhi ya vidokezo kuhusu kuongezeka uzito kipindi cha ujauzito.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa4 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa1 month ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa2 months ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa2 months ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake4 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa1 day ago

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa2 days ago

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi

Ugonjwa unaosababishwa na kula nyama mbichi Madhara ya kula nyama ya ng’ombe mbichi Ni desturi ya baadhi ya watu kula...

Magonjwa1 week ago

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani

Mkojo kuuma ni dalili ya ugonjwa gani Mkojo kuuma au kupata maumivu wakati wa kukojoa ni hali ambayo kwa kitaalam...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono dalili Zake

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa2 weeks ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa3 weeks ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa3 weeks ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa3 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa4 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...