Ticker

6/recent/ticker-posts

Mambo muhimu ya kufanya kwa mtu anayeharisha na kutapika



MAMBO MUHIMU YA KUFANYA KWA MTU ANAYEHARISHA NA KUTAPIKA.

✅Haraka sana tumia mchanganyiko wa maji ya chumvi na sukari(ORS)

✅Kama huna ORS kunywa maji kwa wingi.

✅Nenda haraka Kituo cha huduma za afya huku ukinywa maji safi na salama kwa wingi

JE, UNAWEZAJE KUJIKINGA NA MAGONJWA YA KUHARISHA NA KUTAPIKA?

✅Kunywa maji yaliyochemshwa au kutibiwa na dawa ya Klorini.

✅Nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni kabla ya kula au kumlisha mtoto.

✅Nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni baada ya kutoka chooni.

✅Tumia choo kwa usahihi kila wakati na tupa kinyesi cha mtoto kwenye tundu la choo

#elimu_ya_afya



Post a Comment

0 Comments