News
Watoto walelewa pamoja na Sokwe
‘Nyumba ilikuwa na fujo sana’
Kunywa chai na sokwe na kutoka na mnyama mwingine kwa ajili matembezi ilikuwa sehemu ya maisha ya kila siku kwa familia ya Graham Clews.
Familia yake ilikuwa na wanyama wengi kiasi kwamba walifungua bustani ya wanyama nyumbani kwao Warwickhire, Uingereza, mwaka wa 1966.
Wanyama wadogo na nyani walilelewa ndani ya nyumba na watoto wa Graham walikua pamoja na watoto wa sokwe.
Ni Karibu miaka 40 sasa baada ya bustani yao ya wanyama kufungwa, sasa familia hiyo imebaki na masanduku ya picha na sehemu za magazeti yenye picha.
-
Magonjwa4 days ago
Ugonjwa wa ngozi sehemu za siri
-
Uzazi/Ujauzito2 days ago
Dalili za hatari baada ya kujifungua kwa upasuaji
-
Elimu&Ushauri6 days ago
Afya za watu bilioni 1.8 duniani matatani kwa kutokufanya Mazoezi – WHO
-
Magonjwa1 day ago
Dalili za infection kwenye damu,mchafuko wa damu
-
Events3 days ago
Chad yafanikiwa kuondoa Ugonjwa wa trypanosomiasis,WHO yatangaza
-
Uzazi/Ujauzito11 hours ago
Dalili za mimba hutokea baada ya siku ngapi
-
News6 days ago
Mlipuko Mbaya wa homa ya nyani watokea tena KIVU KASKAZINI
-
News2 days ago
TANZIA:Yusuf Manji afariki dunia akipatiwa Matibabu Marekani