Ticker

6/recent/ticker-posts

Kenya: Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga



Kenya: Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga.

Kenya: Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya vimetajwa kuwa chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga kutokea 2017 hadi 2022 nchini Kenya.

Ripoti mpya ya mkaguzi mkuu wa serikali imebaini kuwa chanzo kikuu cha maafa ya watoto ni kuzaliwa kabla kutimiza siku zao, maambukizi na kukosa hewa ya Oxygen na damu kwenye ubongo.

#Ripoti



Post a Comment

0 Comments