Connect with us

Uzazi/Ujauzito

Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa mama Mjamzito

Avatar photo

Published

on

Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa mama Mjamzito

Kama wewe ni mwanamke unayeishi na virusi vya UKIMWI (VVU) haupaswi kukata tamaa juu ya wazo lako la kuwa mama au kuendelea kupata watoto. Kwa nchi ya Tanzania na duniano kote, kuna wanawake wengi sana wamefanikiwa kupata ujauzito na kujifungua salama wao pamoka na watoto wao bila kuwaambukiza kwa kufuata utaratibu wa kitabibu. Maendeleo katika matibabu ya HIV yamefikia hatua ambapo hii ni ndoto inayowezekana. Hatari ya kuzaa mtoto aliye na HIV sasa ni ndogo sana.

Kupanga Ujauzito:

Kama unafikiria kupata mtoto, ni muhimu kuzungumza na daktari wako au muhudumu wa Afya anayejihusisha na masuala ya Ukimwi/VVU aliye karibu nawe kuhusu nia yako.  Ikiwa imethibitishwa ya kwamba muathirika wa VVU ana idadi finyu ya chembechembe za VVU mwilini, basi utumiaji wa ARV utazuia kuambukiza mtu ambaye hana VVU. Hii idadi ndogo ya chembechembe za VVU inapaswa kwanza kuthibitishwa kwa miezi kadhaa kabla ya kuamua kusitisha matumizi ya kondomu (condom).

Kuamua kupata ujauzito kwa kutumia njia ya kukutana kimwili ni jambo ambalo washirika wote wawili wanastahili kulijadili na kukubaliana. Daktari wako anaweza kukuelimisha uelewe lini unapoweza kupata ujauzito kulingana hasa na mzunguko wako wa hedhi na hali yako kiafya. Daktari atakushauri kuhusu mambo kama: –

Wakati bora wa kupata mimba, ikizingatiwa hali yako ya Ukimwi na mzunguko wako wa hedhi.

Chaguo salama zaidi kwa mwenzi wako ambaye hana HIV (kama vile kujikinga au kujihimilisha).

Jinsi ya kupunguza hatari ya kuambukiza mtoto wako virusi vya Ukimwi (VVU).

Matibabu salama ya Ukwimwi kwa wewe na mtoto wako (baadhi ya dawa sio salama wakati wa ujauzito).

Ujauzito Usiopangwa:

Kama ujapanga kupata ujauzito au umegundua una VVU wakati wa ujauzito, ni muhimu kuzungumza na daktari haraka iwezekanavyo. Kuna njia za kuzuia mtoto wako asiambukizwe VVU katika kila hatua ya ujauzito.

Kupunguza Hatari ya Kuambukiza Mtoto Wako na HIV: Kuna hatua nne zinazopendekezwa:

Kutumia matibabu ya HIV wakati wa ujauzito ili kupunguza idadi ya chembechembe za VVU katika damu (HIV Viral Load).

Kutonyonyesha.

Matibabu ya HIV kwa mtoto wako.

Kufikiria kujifungua kwa upasuaji.

Kujua Kama Mtoto Wako Ana HIV:

Kuna uwezekano mkubwa sana wa kujifungua mtoto asiye na maambukizi ya VVU. Lakini, ili kuthibitisha hali ya mtoto, mtoto wako atafanyiwa vipimo mara kwa mara kwa miezi sita ya kwanza ya maisha yake. Watoto wanaotambuliwa kutokuwa na VVU wanathibitishwa kipimo kwa kipimo mpaka wanapofikisha miezi 18. Hospitali: Hospitali zote nchini zina wahudumu wenye weledi kuhusu matunzo kabla ya kujifungua kwa wanawake wenye wanaoishi na VVU. Viwango vya uzoefu vinaweza kutofautiana kulingana na hospitali.

Msaada:

Ujauzito na kuwa mama kunaweza kuwa changamoto lakini pia ni furaha kubwa. Kupata msaada kutoka kwa familia, marafiki, au wafanyakazi wa msaada unaweza kusaidia sana. Unaweza pia kutaka kuongea na wanawake wengine wanaoishi na VVU kubadilishana uzoefu.

Credits:TanzMed

• Soma Pia hapa kuhusu Sababu za kupumzika wakati wa Ujauzito(BedRest)

MASWALI&MAJIBU kuhusu afya| Link...👇

https://afyaclass.com/afyaforums

YOU MUST READ(IMPORTANT)

Magonjwa2 weeks ago

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani

Maumivu chini ya kitovu ni dalili za ugonjwa gani. Watu wengi huweza kupata maumivu chini ya kitovu, lakini umewahi kujiuliza...

Magonjwa3 weeks ago

Kaswende ni ugonjwa gani, soma hapa kufahamu

Kaswende ni ugonjwa gani, Kaswende ni maambukizi yanayosababishwa na bakteria. Mara nyingi, huenea kupitia mawasiliano ya kingono au kwa kujamiiana....

Magonjwa1 month ago

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani

Koo kukauka ni dalili ya ugonjwa gani Koo kukauka kunaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na: Upungufu wa...

Magonjwa1 month ago

Amiba ni ugonjwa gani,Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Amebiasis

Amiba ni ugonjwa gani Wengi wamezoea kusema hivo ila Amiba(amoeba) ni vimelea vyinavyosababisha ugonjwa, na Ugonjwa huo kitaalam ndyo hujulikana...

Magonjwa3 months ago

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba

kuwashwa nyayo za miguu husababishwa na nini? chanzo na Tiba kuwashwa nyayo za miguu; zipo sababu nyingi ambazo huchangia shida...

magonjwa ya wanawake3 months ago

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease)

Ujue Ugonjwa Wa PID (Pelvic Inflammatory Disease) Pid ni ugonjwa gani? PID ni Maambukizi ya bacteria Kwenye Via vya Uzazi...

Magonjwa2 years ago

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE)

SHINGO YA MTOTO KULEGEA(CHANZO CHAKE) Mabadiliko ya Watoto wengi huanza kwenye miezi mitatu ya Mwanzo wakati ambapo Shingo ya mtoto...

Magonjwa3 years ago

MAUMIVU MAKALI SEHEMU YA HAJA KUBWA

Baadhi ya watu wanachanganya tatizo la maumivu makali sehemu ya haja kubwa pamoja na tatizo la Bawasiri,japo mojawapo ya chanzo...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus) tatizo la masikio kupiga kelele Tinnitus, ni Tatizo la masikio kupiga kelele,...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO)

 UGONJWA WA KISONONO DALILI ZA UGONJWA WA GONO(KISONONO) Ugonjwa wa gonorrhea maarufu kama GONO au Kisonono ni ugonjwa wa zinaa...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?)

Tatizo la Uke Kujamba TATIZO LA UKE KUJAMBA PAMOJA NA TIBA YAKE(chanzo cha tatizo hili ni nini?) Moja ya vitu...

Magonjwa3 years ago

DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

 FANGASI • • • • • DALILI ZA FANGASI UUMENI,KORODANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE Mashambulizi ya Fangasi sehemu za siri...

Magonjwa3 years ago

CHANZO CHA TATIZO LA KUOTA NYAMA PUANI PAMOJA NA MATIBABU YAKE

Chanzo cha tatizo la NYAMA PUANI,Dalili zake Pamoja na Tiba yake, Soma makala hii kwa Makini ili upate Kujua kuhusu...

Magonjwa3 years ago

SABABU ZA KUVIMBA KWA MASHAVU YA UKE(TEZI LA BARTHOLIN)

KUVIMBA MASHAVU YA UKE • • • • • • Katika Makala hii tumechambua zaidi kuhusu sababu za kuvimba mashavu...

Magonjwa3 years ago

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia)

TATIZO LA MWANAUME KUOTA MATITI(gynecomastia) Tatizo hili linatokea kwa Baadhi ya wanaume,na hata kupelekea Wanaume hao kuwa na Matiti kama...

MAGONJWA MBALI MBALI

Magonjwa5 days ago

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu

Maana ya hiv negative,Soma hapa kufahamu Haya ni maneno ambayo umekuwa ukiyasikia sana linapokuja swala la vipimo cha UKIMWI, je...

Magonjwa6 days ago

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia

Kama ndiyo Umegunduliwa ugonjwa wa Kisukari,Soma hii itakusaidia. Kutana na Ilene Raymond Rush ambaye aligunduliwa Kisukari aina ya Pili(Type 2...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa unaosababishwa na konokono

Ugonjwa unaosababishwa na konokono Ugonjwa unaosababishwa na konokono unaitwa schistosomiasis, au bilharzia. Ni ugonjwa wa maambukizi unaosababishwa na minyoo wanaoitwa...

Magonjwa1 week ago

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake

Ugonjwa wa Pink Eye,chanzo,dalili na Matibabu yake. Wengi tumesikia kuhusu Red Eyes(Macho mekundu) Lakini je umewahi kusikia kuhusu Pink Eyes,?...

Magonjwa2 weeks ago

Omeprazole inatibu ugonjwa gani,Fahamu hapa

Omeprazole inatibu ugonjwa gani Omeprazole inatibu ni nini?, Hili ni swali ambalo limekuwa likiulizwa mara kwa mara na wafwatiliaji wengi...

Magonjwa2 weeks ago

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani

Mate kujaa mdomoni ni dalili ya ugonjwa gani Mate kujaa Mdomoni,ni tatizo ambalo hutokea kwa baadhi ya watu, na zipo...

Magonjwa2 weeks ago

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho

Glaucoma: Ugonjwa hatari unaopoteza nuru ya macho Kuna magonjwa mengi yanayohusiana na macho, mengi yanatibika lakini kuna baadhi ya magonjwa...

Magonjwa3 weeks ago

Kunguni husababisha ugonjwa gani

Kunguni husababisha ugonjwa gani Kunguni ni wadudu wadogo ambao chakula chao kikubwa ni damu, wadudu hawa huweza kunyonya damu kutoka...

Magonjwa4 weeks ago

je ugonjwa wa pumu unaambukiza

je ugonjwa wa pumu unaambukiza? Hili ni Swali ambalo watu wengi huuliza,hata kwenye page za afyaclass, kwa kuliona hilo, tumeona...

Magonjwa1 month ago

Dalili za mwanzo za ugonjwa wa ini

Dalili za mwanzo za ugonjwa wa ini Ugonjwa wa ini (hepatic disease) mara nyingi huanza taratibu na dalili zisizo wazi,...