Ticker

6/recent/ticker-posts

KUTOKWA NA DAMU WAKATI WA TENDO LA NDOA



 KUTOKWA NA DAMU WAKATI WA TENDO LA NDOA

CHANZO CHA MWANAMKE KUTOKWA NA DAMU WAKATI NA BAADA YA KUFANYA MAPENZI

Kuna wanawake wengi hupatwa na tatizo hili la kutokwa na damu ukeni wakati au baada ya kufanya mapenzi au tendo la ndoa,

Je chanzo cha tatizo hili ni nini?

CHANZO CHA MWANAMKE KUTOKWA NA DAMU WAKATI NA BAADA YA KUFANYA MAPENZI

Kuna sababu mbali mbali ambazo husababisha mwanamke kuvuja damu wakati akifanya mapenzi au baada ya kufanya mapenzi, na sababu hizo ni kama vile;

- Maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke yaani PELVIC INFLAMMATORY DISEASE(PID)

- Mwanamke kupatwa na magonjwa mbali mbali ya zinaa kama vile ugonjwa wa Pangusa au CHLAMYDIA

- Mwanamke kuwa na tatizo la ukavu ukeni ambao hupelekea michubuko na kuvuja damu wakati wa tendo la ndoa

- Mwanamke kuwa na tatizo la Saratani au Kansa ya kizazi au shingo ya kizazi

- Maambukizi ya magonjwa ambayo huweza kusababisha shingo ya kizazi au uke kuvimba yaani Cervicitis and Vaginitis

- Mwanamke kuwa na uvimbe kwenye shingo ya kizazi au kizazi yaani FIBROIDS,  ovarian Cysts N.k

- Kufanya mapenzi bila maandalizi ya kutosha hali ambayo huweza kupelekea michubuko na kuvuja damu ukeni

- N.k

Chanzo cha Mwanamke  Kuvuja Damu nyingi wakati wa Hedhi soma hapa kujua

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


 
 



Post a Comment

0 Comments