Connect with us

afyatips

Mkojo Kubaki Baada Ya Kukojoa

Doctor Ombeni

Published

on

60 Views
0 Comments

 MKOJO KUBAKI BAADA YA KUKOJOA(Postvoid urine residual Volume)

Kwa kawaida mtu baada ya kukojoa kibofu cha mkojo yaani Urinary Bladder kinatakiwa kisibaki na mkojo tena utoke wote,

Japo kubaki na kiwango kidogo sana pia sio tatizo,lakini endapo kiwango kikubwa cha mkojo hubaki kwenye kibofu baada ya kukojoa hadi kufikia hatua ya kuchafua nguo au kujikojolea wakati umemaliza kukojoa hilo ni tatizo linahitaji tiba.

HIZI HAPA NI BAADHI YA SABABU ZA TATIZO HILO;

– Matatizo kwenye kibofu cha mkojo(urinary bladder) au kwenye njia ya mkojo(urinary tract)

– Maambukizi ya Bacteria kwenye Njia ya Mkojo yaani UTI

– Kuziba kwenye Njia ya Mkojo

– Tatizo la kukua kwa tezi dume yaani Enlarged prostate

– Side effects za Baadhi ya Dawa

– Njia ya mkojo kupita kuwa ndogo zaidi(Narrowed urethra)

– Tatizo la Neurogenic bladder

MATOKEO YA TATIZO HILI NI PAMOJA;

1. Mtu kukojoa mara kwa mara au karibu karibu

2. Mkojo kutoka pasipo kujizuia-Urine leakage (incontinence)

3. Maambukizi ya UTI za mara kwa mara

4. Mtu kupatwa na shida nyingine ya kuwa na mawe kwenye kibofu cha mkojo(Bladder stones)

5. Mtu kupatwa na shida nyingine ya Figo kuharibiwa(Kidney damage) N.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

60 Views
0 Comments

Medical Disclaimer

Medical Disclaimer: Taarifa kwenye makala hii ni kwa ajili ya Updates au elimu ya jumla tu na haichukui nafasi ya uchunguzi,Tiba au ushauri wa kitaalamu wa daktari kwa mtu mmoja mmoja. Kama una dharura au tatizo lolote la kiafya, tafadhali Wasiliana na Daktari moja kwa moja hapa.

Je, unahitaji ushauri binafsi au matibabu ya tatizo lolote?

💬 Wasiliana na Daktari Hapa

🏆Certified| Doctor from Afyaclass. Maudhui haya ni kwa ajili ya elimu ya jumla ya afya. Unapohitaji ushauri wa kina, uchunguzi, au matibabu binafsi, wasiliana na daktari kupitia namba:+255758286584.Pia tufwatilie kupitia: @Facebook | @Instagram | @YouTube.

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Guest Avatar

61
0
Site Favicon

Afyaclass Notifications

We'd like to show you notifications for the latest updates.