Ticker

6/recent/ticker-posts

DALILI ZA UGONJWA WA UTI(MAUMIVU WAKATI WA KUKOJOA N.K) NA



 UTI

• • • • •

DALILI ZA UGONJWA WA UTI(MAUMIVU WAKATI WA KUKOJOA N.K)


Ugonjwa wa Uti huonyesha dalili mbali mbali kulingana na Jinsia ya Mtu(mwanamke au mwanaume),pamoja na kulingana na hali ya mtu Mfano; Mama Mjamzito N.K.


DALILI KUBWA ZA UGONJWA WA UTI NI PAMOJA NA;


1. Kupata maumivu wakati wa kukojoa


2. Kuhisi hali ya Mkojo kuchoma wakati wa kukojoa


3. Kuhisi hali ya Kukojoa mara kwa mara


4. Kupata maumivu makali ya tumbo hasa hasa upande wa kushoto au chini ya kitovu


5. Kutoa mkojo ambao umebadilika rangi


6. Kuhisi hali ya kichefu chefu pamoja na kutapika


7. Kupata maumivu ya viungo,joint pamoja na misuli ya mwili


8. Kuhisi uchovu wa mwili usio wa kawaida


9. Joto la mwili kupanda au kuwa na homa


10. Kutoa mkojo wenye harufu kali na wakati mwingine kutoa mkojo uliochanganyika na Damu


11. Mgonjwa kukosa hamu ya kula


12. Kupata maumivu makali ya kichwa


13. Kupatwa na maumivu makali ya kiuno pamoja na Mgongo


14. Kwa mwanaume,maambukizi ya UTI huweza kupelekea kuwa na hali ya ukavu ukeni pamoja na maumivu wakati wa tendo la ndoa


WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA UGONJWA WA UTI


- Wanawake zaidi ya Wanaume


- Wajawazito


- Wanaoshare vyoo na watu wengi Mfano maeneo yote yenye public toilets kama Stend,Sokoni, Gesti N.K


- Walevi


MATIBABU YA UGONJWA WA UTI


Zipo dawa mbali mbali ambazo huweza kutumika kutibu tatizo la UTI zikiwemo za hosptal na zingine za asili. Miongoni mwa dawa za hosptal zinazotumika kutibu ugonjwa wa Uti ni pamoja na Ciproflaxin, Azuma(azthromycin), Amoxicilin N.K


Kumbuka mama mjamzito hatakiwi kutumia dawa kali kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa UTI,ili kuepusha madhara ambayo huweza kutokea kwake na kwa mtoto aliyetumboni,Ndyo maana mara nyingi mama mjamzito akiwa na tatizo la UTI hupewa Amoxicilin.


MADHARA YA UGONJWA WA UTI NI PAMOJA NA;


- Maumivu makali ya tumbo


- Maumivu wakati wa tendo la ndoa


- Kukojoa damu


- Ukavu wa sehemu za siri za mwanamke


- Matatizo ya Figo


N.K



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.









Post a Comment

0 Comments