Ticker

6/recent/ticker-posts

FAHAMU MADHARA YA RANGI(za ukutani,magari,michoro n.k)



 RANGI ZA UKUTANI

• • • • • •

FAHAMU MADHARA YA RANGI(za ukutani,magari,michoro n.k)


Kama ilivyozoeleka kwenye masikio ya watu, kila kitu kina faida zake pamoja na hasara zake.


Hata rangi ambazo tumezoea kuziona zikipendezesha vitu mbali mbali,zina faida zake na hasara zake.


Hapa tunazungumzia rangi ambazo hupakwa kwenye vitu mbali mbali kama vile; rangi za magari, rangi za kuta za nyumba,rangi za michoro na picha mbali mbali, N.K


Tafiti za afya zinaonyesha kwamba ndani ya rangi hizo kuna kemikali mbali mbali ambazo huweza kuleta madhara mbali mbali katika mwili wa binadamu kama vile Saratani, Magonjwa ya vifua,mapafu, N.K


Hizi hapa ni baadhi ya kansa au Saratani ambazo huweza kuchangiwa na uwepo wa kemikali hizo kwenye rangi mbali mbali;


- Saratani ya damu


- Saratani ya mapafu


- Saratani ya koo


- Saratani ya kongosho


- Saratani ya mdomo


- Saratani ya kibofu


- Saratani ya Ngozi


NB; Hivo basi, kwa wewe ambaye unafanya kazi zozote zinazohusu rangi, unashauriwa kujikinga sana kwa kuvaa nguo za kufunika mwili wako wote kama vile Evarol, Kofia ngumu kichwani, boot miguuni pamoja na mask usoni ili kujikinga na kuingiwa na rangi hizi kwenye mwili wako.


Kumbuka kinga ni bora kuliko tiba,afya yako ndyo mtaji wako wa kwanza.


-


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.







Post a Comment

0 Comments