Ticker

6/recent/ticker-posts

KADI YA KLINIKI KWA MTOTO(tangazo)



 TANGAZO

• • • • •

KADI YA KLINIKI KWA MTOTO(tangazo)


Kuna sehemu kuu mbili katika kadi ya mtoto ya Kliniki ambazo ni kama ifuatavyo;


1. Kuna sehemu ya kadi ya mtoto ya kliniki ambayo hutumika kwa ajili ya chanjo mbali mbali za mtoto kuanzia anapozaliwa mpaka anapofikisha umri wa miaka mitano kama kwenye picha hapa chini


Soma: Chanjo Zote za Mtoto toka anazaliwa mpaka umri wa miaka Mitano


2. Na kuna sehemu ya kadi ya kliniki ya mtoto kwa ajili ya kufwatilia maendeleo ya ukuaji wake, hapa ndipo vipimo kama vya uzito hurekodiwa


KAMA WEWE NI MIONGONI MWA WATU AMBAO KADI HII YA KLINIKI INAKUCHANGANYA HUIELEWI KABSA,NA UNASHINDWA KUFWATILIA CHANJO ZOTE ZA MTOTO TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


1.Soma: Mwanamke Kubeba Mimba Kabla ya Miaka 35


2.Soma: Chanjo Zote za Mtoto toka anazaliwa mpaka umri wa miaka Mitano






Post a Comment

0 Comments