AFYA TIPS
• • • • •
NUKUU YA LEO KUHUSU AFYA YAKO(soma hii ni kwa ajili yako..!!)
• Kinga ni bora kuliko Tiba
• Sio kila maumivu ya kichwa basi ni Malaria,nenda hosptal kachunguzwe afya yako
• Epuka matumizi ya dawa kiholela pasipo maelekezo ya kina kutoka kwa wataalam wa afya
• Kuwa wa kwanza kuchunguza afya yako na kugundua mabadiliko yoyote yanayokupata
• Afya yako ni bora zaidi kuliko pesa zako,hivo ipe kapaumbele cha kwanza
• Usafi wa mwili na mazingira ni muhum sana kwa afya yako
• Lishe bora ndyo msingi wa afya yako
KWA PAMOJA TUNAWEZA,TUIJENGE AFYA BORA.
0 Comments