Ticker

6/recent/ticker-posts

NINI KINASABABISHA MATITI YA MWANAMKE KUANGUKA



 MATITI

• • • • •

NINI KINASABABISHA MATITI YA MWANAMKE KUANGUKA


Kwa hivi sasa, kuna wakina dada wengi hawataki matiti yao kushuka kabsa au kulegea na hata wengine hadi kufikia hatua ya kutumia dawa na kufanya mazoezi maalumu  ili matiti yawe vizuri.


Je Nini kinasababisha matiti ya mwanamke kuanguka?


Soma baadhi ya sababu mbali mbali hizi hapa chini;


• Mabadiliko ya vichocheo mwilini kama vile Estrogen


• Kupenda kutokuvaa sidiria kwa muda mrefu, hivo matiti kukaa bila balance mara nyingi zaidi hali ambayo huweza kupelekea kulegea na kuanguka


• Hali ya mtu kuzeeka hupelekea misuli pamoja na ngozi ya titi kuchoka pia


• Mtu kuwa na uhaba mkubwa wa Collagen


• Mtu kuwa na matiti makubwa zaidi


• Hali ya unene kupita kiasi


• Mwanamke kufikia ukomo wa hedhi yaani Menopause


• Mwanamke kukonda kwa gafla sana


• Mwanamke kuvutwa sana matiti mda mrefu kwa sababu mbali mbali kama vile; Unyonyeshaji n.k


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.








Post a Comment

0 Comments