Ticker

6/recent/ticker-posts

Chanzo cha Mtu Kupiga CHAFYA,Tiba yake na Faida zake



 CHAFYA

• • • •

Chanzo cha Mtu Kupiga CHAFYA na Faida zake


Kwa namna moja au nyingine kupiga chafya huweza kuwa ni mojawapo ya Njia ya mwili kuondoa uchafu au kitu chochote ambacho kinajaribu kuingia kwenye njia ya hewa,


japo zipo sababu mbali mbali zinazochangia mtu Kupiga Chafya.


SABABU ZA MTU KUPIGA CHAFYA NI PAMOJA NA;


- Tatizo la allergy juu  ya vitu flani kama sabuni,mafuta,perfume n.k


- Tatizo la mashambulizi ya Virusi wanaosababisha mafua kama vile; maambukizi ya RHINOVIRUS n.k


- Kuingia kwa vitu vya kigeni kama Vumbi, Pilipili n.k ambavyo husababisha hali ya muwasho ndani ya pua


- Mtu kuacha gafla matumizi ya dawa kama vile; Opioid narcotics


- Kuvuta dawa puani jamii ya Corticosteroids


- Kuvuta hewa ya baridi sana


- Na mara chache sana kuumia ndani ya pua

n.k


MATIBABU


endapo kupiga chafya imekuwa tatizo la kila mara, ni muhimu kuepuka vitu ambavyo hukusababishia tatizo lako,


Au unaweza kuongea na wataalam wa afya kwa ajili ya msaada zaidi.


KUMBUKA; Kupiga chafya kuna Faida mwilini,lakini kunaweza kuwa ni ugonjwa pia ambao huhitaji tiba


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments