Ticker

6/recent/ticker-posts

MAKOSA YANAYOFANYWA KWENYE MATUMIZI YA CONDOM(wanaume)



 CONDOM

• • • • •

MAKOSA YANAYOFANYWA KWENYE MATUMIZI YA CONDOM(wanaume)


1. Kutumia condom moja zaidi ya mara moja( condom reuse)


2. Kutumia condom mbili au zaidi ya mbili kwa wakati mmoja


3. Kutumia condom bila kuacha nafasi kidogo sehemu ya mbele


4. Kutumia condom bila kutoa hewa


5. Kutumia kilainishi kingine chochote kama mafuta n.k kwenye condom


6. Kutumia condom huku ikiwa bado imejikunja


7. Kufungua condom na kuiacha wazi kwa muda,ndipo baadae uitumie


8. Kuchana kifuko cha condom bila kuisogeza,hali ambayo huweza kusababisha kuchana kondom au kuitoboa

N.K


Angali vizuri na chunguza unaweza kuona alama kwa pembeni ya kukuonyesha sehemu ya kuchana kwani baadhi ya condom zina alama ambayo huonyesha kabsa sehemu ya kuchana.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments