Ticker

6/recent/ticker-posts

UMUHIMU WA KUFANYA VIPIMO JUU YA MAGONJWA MBALI MBALI



 VIPIMO

• • • • •

UMUHIMU WA KUFANYA VIPIMO JUU YA MAGONJWA MBALI MBALI


Kwa hivi sasa kuna magonjwa mengi, na ambayo huwa na dalili sawa au zinazoingiliana,


Hivo swala la kufanya vipimo kabla ya kuanza tiba ni muhimu sana,


Kumbuka; sio kila homa ni Malaria


fanya vipimo kwanza kujua tatizo linalokusumbua kutokana na dalili unazozipata kabla ya matumizi ya dawa,


epuka matumizi ya dawa hovio pasipo maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE kWA NAMBA +255758286584.







Post a Comment

0 Comments