Ticker

6/recent/ticker-posts

MAGONJWA AMBAYO HUTIBIWA KWA ALOE VERA(mmea-Tiba asili)



 ALOE VERA

• • • • • •

MAGONJWA AMBAYO HUTIBIWA KWA ALOE VERA(mmea-Tiba asili)


Aloe vera hutibu magonjwa mengi sana kwenye mwili wa binadamu, inakadiriwa kwamba Aloe vera huweza kutibu zaidi ya magonjwa 200 kwenye mwili wa binadamu,


Haya hapa ni baadhi ya magonjwa ambayo huweza kutibiwa na Aloe vera,kitu cha msingi ni kufahamu jinsi ya kuandaa,kutumia na kiwango sahihi kulingana na ugonjwa ulio nao.


1. Ugonjwa wa Bawasiri au kuota kinyama sehemu ya haja kubwa


2. Ugonjwa wa Malaria sugu


3. Ugonjwa wa UTI za mara kwa mara ambazo haziishi


UTI- urinary track infection au maambukizi kwenye mfumo mzima wa mkojo ikiwa ni pamoja na Njia ya mkojo,kibofu cha mkojo,Figo,Tezi n.k


4. Tatizo la nguvu za kiume au matatizo ya hormone za kiume kama vile Testosterone n.k


5. Aina mbali mbali za Kansa kama vile; Kansa ya ngozi,shingo ya kizazi n.k


6. Ugonjwa wa Vidonda vya tumbo


7. Ugonjwa wa Shinikizo la Damu au Presha


8. Ugonjwa wa Kisukari


9. Magonjwa mbali mbali yanayoenezwa kwa njia ya kujamiiana au magonjwa ya zinaa


10. Matatizo mbali mbali yanayohusu Uzazi 


11. Tatizo la kuwa na Uzito Mkubwa au uzito kupitiliza

N.K



Matumizi kwa ujumla;


Chukua kipande kimoja kikate kisha uchemshe na kikombe kimoja cha maji kisha unywe nusu asubuh na nusu jion au uloweke kwenye kikombe kisha uiweke juan  kwa muda masaa 6 


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.






Post a Comment

0 Comments