Ticker

6/recent/ticker-posts

Daktari aliyegundua na kumtibu mgonjwa wa kwanza wa UKIMWI Tanzania



Imetimia miaka 40 sasa tangu kugundulika kwa ugonjwa wa UKIMWI ambao uliingia Afrika Mashariki mwaka 1983.

Maelfu ya watanzania walipoteza Maisha, huku ikiwa vigumu kuweza kukabiliana nao kutokana na mila potofu.

Callixte Twagirayezu alikua daktari aliyemtibu mgonjwa wa kwanza kabisa wa virusi vya UKIMWI.

Katika mahojiano na BBC, daktari huyu ambaye kwa sasa ana miaka 93 anasema kilikua miongoni mwa vipindi vigumu kuwahi kushuhudia maishani mwake.

Source:Bbc



Post a Comment

0 Comments