TANZIA: Mtanzania alietekwa nchini Israel Afariki dunia
Mmoja kati ya wanafunzi wawili wa Tanzania waliotekwa na wapiganaji wa Hamas wakati wa uvamizi wao Israel amefariki.
Mmoja kati ya wanafunzi wawili wa Tanzania waliotekwa na wapiganaji wa Hamas wakati wa uvamizi wao Israel amefariki. Kulingana na taarifa kutoka kwa serikali ya Tanzania iliotumwa katika vyombo vya habari bwana Clemence Felix Mtenga , alikua hajulikani alipo tangu uvamizi wa wapiganaji wa Hamas nchini Israel mnamo tarehe saba mwezi Oktoba 2023.
WEKA COMMENT HAPA..!!!
image quote pre code