Ticker

6/recent/ticker-posts

Ukiwa na Wasiwasi unaweza kukumbana na dalili hizi



Ukiwa na Wasiwasi unaweza kukumbana na dalili hizi,

Kila mtu kwenye vipindi flani vya maisha huweza kukumbana na wasiwasi, hofu na wasiwasi huweza kuwa shida ya muda mfupi au likawa tatizo la muda mrefu(Chronic anxiety).

Wasiwasi huweza kuja kutokana na matukio mbali mbali ya maisha mfano;

  • Wakati wa Interview
  • Wakati wa mitihani kwa wanafunzi n.k

Hizi ni dalili za wazi wazi ambazo mtu mwenye wasiwasi huweza kuzipata(physical symptoms of anxiety);

– Mapigo ya Moyo kwenda mbio

– Kupata hali ya kizunzuzungu

– Kupata maumivu ya tumbo

– Na wengine kuharisha

– Kupata maumivu ya kifua

– Kupata maumivu ya Kichwa

– Mwili kuchoka kupita kiasi

– Kupata shida ya kukosa Usingizi(insomnia) n.k

Je umewahi kukutana na hali kama hii…!!!!



Post a Comment

0 Comments